Ticker

6/recent/ticker-posts

MESEJI NZURI ZA MAPENZI KWA UMPENDAYE KWA DHATI


Seebait.com 2018SeeBait
Kuna miezi 12 katika mwaka…siku 30 katika mwezi…siku 7 katika wiki, masaa 24 katika siku…dakika 60 katika saa……lakini wewe ni mmoja tu maishani mwangu.
****
I asked God for a rose and He gave me a garden. I asked God for a drop of water and He gave me an ocean. I asked God for an angel and He gave me you!
****
Kuna vitu viwili zinavyoniamsha asubuhi na mapema: Alamu ya saa yangu na wewe
*****
I will walk with you side by side for only one condition: hide your wings every time we walk together because the whole world might know that you're my angel

****
Bongo zenye fikra kali huwa na mawazo, suluhu na sababu; ubongo wa kisayansi huwa na kanuni, nadharia na takwimu; wangu una wewe tu!
****
Do you take me to be your lawfully wedded text mate, in sickness or in health, through metering or not, till low bat do us part?
****
Penzi linaweza kuelezewa kwa namna nyingi. Namna moja niijuayo nikumtumia mapenzi hayo mtu asomaye meseji hii.
****
Each of us is an angel with one wing. The only way we could fly is to hold each other and share wings. So if you have trouble flying, I will always share mine with you.
****

Kama ningeweza kubadili herufi, ningeweka yangu na yako kuwa pamoja.
****
Minsan caring is better than loving. Minsan tea is better than coffee. Minsan smile is better than laughter. Pero nobody is better than you.
****
Umewekwa usiku ili tuweze tuukubali mchana, huzuni ili tuikubali furaha, ubaya ili tuukubali uzuri, wewe ili niyakunali mapenzi.
I don't want to say I miss you, though deep inside I do, coz I'm afraid you might see thru and know how much fear I have of losing someone like you.
****
Unaonekana kung’ara leo nilijuaje…….ni kwasababu unaonekana hivyo kila siku
****
You greeted me hi, I didn't reply. You gave me a sweet smile, I responded with a sigh. You showed me your love, you received a shrug. But when you bid goodbye I began to cry.
****
I have heard from the phone company, the water company, the electric company, but haven't heard from you. Too bad, it's your company I love the most.
****
Mapenzi ni nini? Wale wasiopenda huita majukumu, wale wanaoyachezea huita mchezo, wale wasiokuwa nayo huita ndoto, na wale wanaoelewa huyaita mwisho wa safari, na mimi, mwisho wangu ni wewe.
****
I've been wondering why you're not texting... Multiple choices: a. busy b. dilemma c. tired d. thrifty e. want me to miss you.
****
Love is something special, a treasure I want to find... To others, love is blind but for me, its not true, coz when I fell in love...I saw you.
****
Ni mapenzi gani yanayofanya simu yako ilie kila nitumapo meseji?
****
True love is hard to find, special one, one of a kind. I know because it appeared to me on a strange day I met you.
****
Kama mapenzi huweza kukimbiwa kwa kufumba macho yetu tu, basi nisingefunika macho kabisa. Sitaki sekunde ipite bila kukupenda wewe.
****
While you gave her flowers, you gave me thorns. While all she did was smile, all I did is mourn. While she was so happy, I felt so blue. Because while you loved her, I was loving you.
****
Nilikuwa nikifiria kwamba ndoto haziwezi kuwa kweli, lakini nilibadili mawazo yangu pale tu nilipokuona wewe.
****
Baadhi ya watu huzaliwa na vipaji. Huweza kufanya mambo mazuri kwa ujuzi wao, lakini hamna anayekufikia wewe, kwani ukinisogelea tu kila kitu huwa kizuri.
****
Can I say I love you today? If not, can I ask you again tomorrow? And the day after tomorrow? And the day after that? Coz I'll be loving you every single day of my life.
****
Mwanamke ni yule amfanyaye mwanamme auhisi uanaume wake, wewe ni mwanamke mwenye sifa hizo.
****

If love is a disease then I'm very ill. But I would not want medicine and won't take any pill. I would instead suffer this illness and be bedridden with joy of knowing you.
****
Kukusahau wewe ni ngumu lakini kunisahau mimi ni juu yako. Usinisahau kamwe, unaweza kuisahau meseji hii, lakini si mtumaji.
****
First time I saw you, I was scared to touch you. First time I touched you, I was scared to kiss you. First time I kissed you, I was scared to love you. But now that I love you, I'm scared to lose you!
****
Mambo yanapokwenda mrama kumbuka kuwa kuna Mungu peponi anayekupenda na kukuangalia, lakini yupo duniani anayekujali ambaye ni mimi peke yangu.
****
An angel asked me a reason why I care for you so much. I told her I care for you so much coz there's no reason not to.
****
Why do birds fall from the sky every time you walk by? Maybe because like me they want to be near you!
****
Simu huboa wakati mwingine, kwani ni lazima ufungue meseji na kuzisoma, kuichaji simu kila mara, lakini usichoke kwani ndiyo inayotuwezesha tuwasiliane
****
They say as long as at least one person cares for you, life isn't a waste. So when things go terribly wrong, and you feel like giving up, please remember you still got me.
****
Maneno huanza na ABC. Namba 123. Muziki na do re mi na mapenzi huanza na mimi na wewe.
****
If only one star would fall every time I miss you, then all the stars in heaven would be gone. Don't wonder if there are no stars tonight! It's your fault coz you made me miss you a lot.
****
Mvua na jua haviwezi kuwa pamoja, usiku na mchana hazigongani, lakini mimi na wewe, hata wasemaje, ‘tunafiti’ kuwa pamoja.
****
If someone would ask me what a beautiful life means, I would lean my head on your shoulder and hold you close to me and answer with a smile: "Like this!"
****
Niotapo ndoto, hukuota wewe...labda siku moja, inaweza kuwa kweli.
****
Life may sometimes be a rough road to walk on where everything seems wrong. But don't give up. Just go on coz when you think you're all alone, look back and you'll find me walking along.
****
Kuna bahari kati yetu. Misitu na milima inatutenganisha, mimi si ‘Supamani’ lakini nipe sekunde moja nitavuka nchi nyingi kukutumia mapenzi yangu. Umeipata hiyo?
****
Someone once asked me, "Have you ever fallen in love?" Then I answered, "Of course, once." Then they asked me another question: "Did it hurt?" I thought of you and told them "Yes, very much".
****
Kama ningeweza kutenga muda kidogo na kuufanya uendelee kung’ara siku zote, siku zote nilizoishi ningechagua wakati nilivyoishi nawe.
****
I used to think that the world is so unfair, that it gave me so many reasons to hate it. But now, how can I hate such a wonderful world that gave me you?
****
Natamani ningekuwa chozi jichoni mwako ambapo ningetelemka na kuishia midomoni mwako, lakini kamwe sitamani uwe chozi jichoni mwangu nitakupoteza kila muda niliapo.
****
When it rains, you don't see the sun, but it's there. Hope we can be like that. We don't always see each other, but we will always be there for one another.
****
Naweza kuishiwa ujumbe wa kukutumia. Naweza kuishiwa utani pia. Naweza kuishiwa chaji lakini moyo wangu hauwezi kukosa nafasi ya kukuweka.
****
You'll know that you miss someone very much when every time you think of that person, your heart breaks into pieces and just a quick "Hello" from that person can bring the broken pieces back.
****
Penzi, maisha yangu yote nimesoma juu ya neno hili, nimeota juu yake, nimelilia, nimelihitaji. Sasa pamoja nawe nimelipata.

Post a Comment

0 Comments